Sample Pages
APPENDIX U
Wanataka hini? [What do they want?] | Wanataka kitu hiki kiwe kizuri. [They want this thing to be good.] |
ingewezekana [If it were possible.] | Ingewezekana, kitu hiki kingekuwa kizuri. [If it were possible, this thing would be good.] |
Watafanya nini? [What will they do?] | Kitu hiki kikiwa kizuri watafanya nini? [If this thing is good, what will they do?] |
SENTENCE FROM THE INVENTORY: | |
Bw. Kawawa ni Makamu wa Pili wa Rais. [Mr.Kawawa is Second Vice-President.] |
Bw. Kawawa ni Makamu wa Pili wa Rais. |
TENSE MODIFIERS: | |
sasa | Bw. Kawawa ni Makamu wa pili wa Rais sasa. |
jana | Bw. Kawawa alikuwa Makamu wa pili wa Rais jana. |
siku zijazo | Bw. Kawawa atakuwa Makamu wa pili wa Rais siku zijazo. |
Wanataka nini? | Wanataka Bw. Kawawa awe Makamu wa pili wa Rais. |
Watafanya nini? | Watafanya nini Bw. Kawawa akiwa Makamu wa pili wa Rais? |
Ingewezekana | Ingewezekana, Bw. Kawawa angekuwa Makamu wa pili wa Rais. |
427